UKWATA kama chama cha dini cha vijana katika chuo cha ualimu BUSTANI kilichopo wilayani kondoa mkoani DODOMA watazindua CD yao ya nyimbo za dini iitwayo FURAHINI KATIKA BWANA AMBAYO ITAZINDULIWA TAREHE 8/2/2015 katika kanisa la K.K.K.T lililopo kondoa mjini kuanzia saa 7:00 mchana hadi saa 12:00 jioni. WOTE MNAKARIBISHWA KATIKA UTUMISHI WA MUNGU.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment