Wednesday, December 17, 2014

AISHA MADINDA AFARIKI DUNIA

breaking-news-alert-graphic-new-as-of-3-21-11-27279469-e1351416678191
Taarifa ambayo imetolewa kupitia Clouds FM December 17, 2014 mchana ni kuhusu kifo cha aliyekuwa mnenguaji maarufu kwenye familia ya muziki wa dansi Tanzania Aisha Mohamed Mbegu maarufu kama ‘Aisha Madinda’.
aishamadindaChanzo cha kifo chake bado hakijafahamika lakini taarifa za awali zinasema alipelekwa hospitali ya Mwananyamala akiwa tayari amefariki, taarifa zaidi kuhusiana na msiba huu itakufikia punde kupitia millardayo.com muda mfupi baada ya kunifikia.

No comments :

Post a Comment