Kuna kitu kizuri kinakuja kutoka kwa hawa
wasanii wetu wa Bongo Fleva, kitu hicho bado kimekuwa kama kigugumizi
kwa kutojua ni video mpya au ni picha tu wameamua kupiga wakiwa huko
Johannesburg South Africa au laa. Mashabiki kaeni mkao wa kula nadhani
kuna mambo mazuri hapa, hebu tusubiri.
No comments :
Post a Comment